Udforsk fængslende indhold og forskellige perspektiver på vores Discover-side. Afdække friske ideer og deltag i meningsfulde samtaler
Mwalimu aliingia darasani na kukuta kiti alichotakiwa kukalia kimening'inia kwenye dari. Aliwatazama wanafunzi na kutabasamu. Bila kusema neno lolote, alienda ubaoni na kuandika: Mtihani - dk 15, alama 30.
Q1. Kuhesabu umbali kati ya kiti na sakafu kwa sentimita (Alama 1).
Q2. Kuhesabu angle ya mwelekeo wa kiti kwenye dari, na uonyeshe kazi zako (1 Alama)
Q3. Andika jina la mwanafunzi aliyetundika kiti kwenye dari na marafiki waliomsaidia. (alama 28).
"Je,lengo la Mwalimu lilikuwa nini?
tuone comment zenu