Explore captivating content and diverse perspectives on our Discover page. Uncover fresh ideas and engage in meaningful conversations
*Je wajua kama anayehusika na upatikanaji wa jinsi ya mtoto ni mzazi wa kiume?.*
Tendo la urutubishaji wa mayai husababisha jinsi ya mtoto kutokea.
Gameti uke kutoka kwenye ovari imebeba chembe Uzi(Chromosome) ya aina moja iitwayo X.Hivyo,kila yai linalotoka tayari kwa kurutubishwa hubeba chembeuzi X.Gameti ume imebeba moja kati ya chembe Uzi (Chromosome) za aina mbili yaani X na Y.Endapo chembe Uzi(Chromosome) X kutoka kwa mwanaume itakutana na chembeuzi X kutoka kwa mwanamke,mtoto wa kike hutungwa.Kama chembeuzi(Chromosome) Y kutoka kwa mwanaume itakutana na chembeuzi (Chromosome) X kutoka kwa mwanamke mtoto wa kiume hutungwa.
Follow us on WhatsApp channel through this link below ๐
https://whatsapp.com/channel/0....029Vb2b7U5CBtxLx6kwO
Danny Optimal
Delete Comment
Are you sure that you want to delete this comment ?
Naomi54
Delete Comment
Are you sure that you want to delete this comment ?