Utforska fängslande innehåll och olika perspektiv på vår Upptäck-sida. Upptäck nya idéer och delta i meningsfulla samtal
Naitwa fadhili lazaro musimu nipo tanzania,Ni muimbaji wa nyimbo za injili, ni mwalimu wa nyimbo za kwaya,pia nina kipaji cha kurecodi nyimbo yaani uprojuza,wa audio music,ila sina vifaaa vya kazi,maono yangu na ndoto zangu,ni kuwa na studio.naomba munisaidie kwa yule atakaye guswa na mungu, naitaji kuieneza habari ya neno la mungu kupitia uimbaji kwa njia ya kurecodi nyimbo na kuinua vipaji mbalimbali katika kutumikia mungu,
vifaa hivi navitamani ni vipate imeshanichukuwa sas miaka 3 natafuta ni wapi nitavipata nimekuja kwenu munisaidie watumishi wa mungu.
1.computer
2.moniter speaker
3.microphonic audio recoding
4.sound card
5.magitaa bas gitaa na solo gitaa
6.kibodi,kinanda
kiujumla seti nzima ya studio kwa yule atake guswa namba yangu ni 0617571959,0768445390
majina ni fadhili lazaro msimu
Naitwa fadhili lazaro musimu nipo tanzania,Ni muimbaji wa nyimbo za injili, ni mwalimu wa nyimbo za kwaya,pia nina kipaji cha kurecodi nyimbo yaani uprojuza,wa audio music,ila sina vifaaa vya kazi,maono yangu na ndoto zangu,ni kuwa na studio.naomba munisaidie kwa yule atakaye guswa na mungu, naitaji kuieneza habari ya neno la mungu kupitia uimbaji kwa njia ya kurecodi nyimbo na kuinua vipaji mbalimbali katika kutumikia mungu,
vifaa hivi navitamani ni vipate imeshanichukuwa sas miaka 3 natafuta ni wapi nitavipata nimekuja kwenu munisaidie watumishi wa mungu.
1.computer
2.moniter speaker
3.microphonic audio recoding
4.sound card
5.magitaa bas gitaa na solo gitaa
6.kibodi,kinanda
kiujumla seti nzima ya studio kwa yule atake guswa namba yangu ni 0617571959,0768445390
majina ni fadhili lazaro msimu
Naitwa fadhili lazaro musimu nipo tanzania,Ni muimbaji wa nyimbo za injili, ni mwalimu wa nyimbo za kwaya,pia nina kipaji cha kurecodi nyimbo yaani uprojuza,wa audio music,ila sina vifaaa vya kazi,maono yangu na ndoto zangu,ni kuwa na studio.naomba munisaidie kwa yule atakaye guswa na mungu, naitaji kuieneza habari ya neno la mungu kupitia uimbaji kwa njia ya kurecodi nyimbo na kuinua vipaji mbalimbali katika kutumikia mungu,
vifaa hivi navitamani ni vipate imeshanichukuwa sas miaka 3 natafuta ni wapi nitavipata nimekuja kwenu munisaidie watumishi wa mungu.
1.computer
2.moniter speaker
3.microphonic audio recoding
4.sound card
5.magitaa bas gitaa na solo gitaa
6.kibodi,kinanda
kiujumla seti nzima ya studio kwa yule atake guswa namba yangu ni 0617571959,0768445390
majina ni fadhili lazaro msimu


Danny Optimal
Ta bort kommentar
Är du säker på att du vill ta bort den här kommentaren?