Habari zenu wapendwa .sasa leo naenda kufundisha namna ya kutengeneza shampoo ya kuoshea nywele.kwanza kabisa inatakiwa uwe na mtaji kiasi cha shilingi 30000.vifaa vinavyo hitajika ni .sodaash,saphonic acid,siles,pafyumu,rangi,pafyumu,grisaline, CDE,maji,chumvi,baada ya hapo utachukua chombo kisafi,utachukua maji Lita 20 utachukua soda ash utachanganya kwenye maji kologa dakika 10,utachukua salphoni utachanganya kologa dakika 10,utachukua siles kologa dakika 10,utachanganya grisaline kologa dakika 10,utachukua CDE kologa dakika 10,changanya pafyumu kologa dakika 10,changanya rangi kologa dakika 10,mwicho changanya chumvi kologa dakika 10.Tahadhari weka mbali na watoto,hifadhi sehemu kavu,unapoanza kutengeneza vaa maski ,miwani na Grove.asanteni
جستجو کردن
پست های محبوب
-
keys to become an extraordinary youth, unlock your potential and live a life of impact
توسط Tabithadorah -
Evolution of Human Beings
توسط Sekani Mkandawire -
BEEKEEPING IN AFRICA
توسط Sekani Mkandawire -
Good environment
توسط Upendo Mandala -
Leo naenda kufundisha jinsi ya kutengeneza SHAMPOO
توسط Fransiscalwimbo
Sania 7 که در
Nice